matukio burudani injili uimbaji maisha sanaa muziki maigizo habari maajabu vichekesho maendeleo mafanikio uchumi lugha maono mahubiri nyimbo biblia siasa

Jun 2, 2012

JANA 01/06/12 PALE TAMAL ILIKUWA TENA FRIENDS ON FRIDAY. ANGALIA MATUKIO KATIKA PICHA



HUYU SI NDIYE YULE MUIMBAJI WA CONGO. FARAJA NTABOBA, KUMBE NAYE ALIKUWEPO. BASI MAMBO YALIKUWA SHWARI SANA




 HATA MZUNGU ALIKUWEPO. i like this

 MIRIAMU LUKINDO WA MAUKI ALIKUWEPO NDANI
 STARA THOMAS ALIKUWEPO PIA. Stara Thomas na Miriam Lukindo


 WADAU WAKITABASAMU. FOF RAHA BWANA WE ACHA TU
 LOGO YA JANA
 SAM NA MDAU MWINGINE

 MC LUVANDA NDANI YA FOF
  Blogger akiwa Busy kuandaa Zawadi Za Kwenye Game iliyochezeshwa leo hii.

 Mdau akichagua Zawadi sawa sawa na namba ya ushindani

DANCE TO THE LORD
  Kushoto ni Chris Mauki, Anorld Kayanda wa Clouds FM kipindi Cha Jahazi, Ze Blogger na Mc Luvanda Ndani Ya FoF
 Mwanamuziki Maarufu Kutoka Katika Nchi Ya Congo mwenye Jina la Faraja Akiingia ndani ya FoF


Hata Anold Kayanda alikuwepo.

Angalia hizi

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...