matukio burudani injili uimbaji maisha sanaa muziki maigizo habari maajabu vichekesho maendeleo mafanikio uchumi lugha maono mahubiri nyimbo biblia siasa

May 15, 2016

KASSIM MAJALIWA NA BUNGE KURUSHWA "LIVE"



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa hata bunge la Uingereza halionyeshwi ''LIVE " kwa muda mrefu kama ilivyokuwa kwa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambalo lilikuwa likionyeshwa kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 7 mchana, na kuanzia saa 10 jioni hadi saa 2 usiku na kupelekea watu kutokufanya kazi na badala yake kuamka asubuhi kufuatilia bunge kwa muda wa miezi hadi mitatu.

Angalia hizi

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...