matukio burudani injili uimbaji maisha sanaa muziki maigizo habari maajabu vichekesho maendeleo mafanikio uchumi lugha maono mahubiri nyimbo biblia siasa

Jan 31, 2017

MAMA WA MASAUTI UPENDO NKONE:

UPENDO NKONE
"Bwana Yesu asifiwe watu wa Mungu, ninawasalim sana katika Jina la Yesu. Napenda kumshukuru Mungu kwa neema yake maishani mwangu Amekuwa mtetezi wangu katika mengi , nampenda Yesu na nafurahi kuwa nae maishani mwangu. Napenda kuwashukuru funs wangu wote wanaonunua ,kusikiliza na kuzitizama kazi zangu , mmekua moja ya sababu zilizo fanya uchumi wangu kuinuka , I want to thank you and God bless you so much. Kwa sasa album nilizonazo ni tano 5, vol 1 - Mungu baba , vol 2 - Hapa nilipo, vol 3 - zipo faida, vol 4- uniongoze Yesu, vol 5- Omba Yesu anasikia. Kwasasa ninakuja na album mpya vol 6 ..... Ambayo January mwishoni itatoka . Jina la album nitawajulisheni. Nawashukuru wote ambao mmekua mkiniombea na kunipigia simu kunitia Moyo ndani na nje ya Tanzania, Thank you all. Naomba msiache kuniombea kwasababu nasikia kutumika kwa viwango vya juu zaidi.       Napenda kuwapa pole wale wote ambao wamepatwa na matatizo  misiba, magonjwa,kuanguka kiuchumi Nk poleni sana.                         Napenda Kuwatia Moyo kwa neno la Mungu kutoka  Yohana 6:37 ukimwendea Yesu na kuyatii maagizo yake, hawezi kukutupa nje , pamoja na magumu tulio nayo tusiache kimwendea atatuvusha tu. Nawatakia mwaka mpya mwema 2017 uwe ni mwaka mwema kwenu, mfarijiwe, muinuliwe , Mungu awape majibu ya mahitaji yenu. Nawapenda nyote. AMEN."

Angalia hizi

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...