matukio burudani injili uimbaji maisha sanaa muziki maigizo habari maajabu vichekesho maendeleo mafanikio uchumi lugha maono mahubiri nyimbo biblia siasa

May 9, 2012

ERICK BRIGHTON WA PRAISE POWER AFANIKISHA USIKU WA 4 BY 4 JANA 08/05/2012 IT WAS GOOOOOD

  juu: Wakati Shughuli ikiendelea Bloggers walikuwa Kikazi zaidi, hapa Papaa Ze Blogger mr sam sasali  akiwa na Victor wa Hossana Inc ndani ya Atriums.

 ERICK BRIGHTON

Usiku wa jana Katika Ukumbi wa Atriums wadau wa Muziki Wa Injili wamekutana pamoja na kwa umoja na kupata burudani mwanana.

Kusanyiko hilo limewakutanisha Waimbaji wa Muziki wa Injili, Maproducer wa Muziki wa Injili, Watangazaji wa Redio na Tv Za Kikristo, Waandishi wa habari na Bloggers wa Kikristo.

Usiku huo uliopambwa na burudani na vinywaji ni kwa ajili ya Kumpongeza na Kum-Support Erick Brighton ambaye ni Mtangazaji wa Radio bora kabisa ya Muziki wa Injili Praise Power Fm. Erick ambaye siku ya Jumapili alitangaza nia ya Kuoa katika Kanisa la Mikocheni B.

chini: Wadau ndani Ya Atriums Hotel.





 watu kibao hapo kwenye tukio

Bloggers wakimuweka Mtu kati mwenye shughuli kumbe Jamaa kalala huku kasimama.
RIPOTI HII NI KWA HISANI YA BLOG MAKINI YAKE SAMSASALI aka pAA  http://samsasali.blogspot.com/

You might also like:

Angalia hizi

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...