matukio burudani injili uimbaji maisha sanaa muziki maigizo habari maajabu vichekesho maendeleo mafanikio uchumi lugha maono mahubiri nyimbo biblia siasa

May 4, 2012

UPENDO KILAHIRO: WATU WA CANADA KAENI TAYARI KUMPOKEA TAREHE 6th may 2012 Toronto International Community Church(TICC)

 Upendo kilahiro akiwa na balozi wa Tanzania nchini Canada Mh Massinda

Mwanamuziki wa injili kutoka nchini Tanzania Upendo kilahiro, anatarajia kuhudumu katika Ibada ya kusifu itakayofanyika asubuhi ya tarehe 6th 05.2012 katika kanisa la Toronto International Community Church(TICC) lililoko 190 Railside Road Toronto nchini Canada.
You might also like:



Upendo kilahiro akiwa na balozi wa Tanzania nchini Canada Mh Massinda

Angalia hizi

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...